Pages - Menu

Alhamisi, 13 Juni 2013

(News) HABARI ZILIZOTUFIKIA: MSANII WA HIP HOP NCHINI LANGA KILEO AMEFARIKI DUNIA




Habari zilizonifikia sasa hivi punde kutoka kwa ndugu wa karibu wa Langa zinasema ndugu yao Langa amefariki katika hosp kuu ya Muhimbili kwa kuumwa Malaria. Habari kamili zitawajia kwa jinsi nitakavyokuwa napewa updates.
MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA PEPONI.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

HAPPY BRITHDAY TWALIB KIZIBO