Pages - Menu

Jumamosi, 24 Agosti 2013

(Breaking News) Hii ndio ajali iliyompata msanii huyu wa Bongo Movie jana usiku akirudi kwake


Yalikuwa ni majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na matibabu.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

HAPPY BRITHDAY TWALIB KIZIBO