Jumamosi, 24 Agosti 2013
(News) The Biggest ProHabo Project 2013!
We Bring You Lafamilia's Chidibenz all the way from Bongo Daresalam!
Champagne zinaendelea..Fly Like a Jordan Air! Coming Soon
BONGE LA KIOO
(Breaking News) Hii ndio ajali iliyompata msanii huyu wa Bongo Movie jana usiku akirudi kwake
Yalikuwa ni majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na matibabu.
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)